Sunday, 29 September 2013

BINTI AVULIWA NGUO NA WANAKIJI BAADA YA KUMCHANA NA VIWEMBE RAFIKI YAKE ALIYEMFUMANIA NA MPENZI WAKE ....MATUKIO KATIKA PICHA


Hawa ni mabinti wawili ambao walikuwa ni marafiki wa damu.Urafiki wao uliingia dosari baada ya mabinti hao kusalitiana na kuchukuliana wapenzi....

Anayevuja damu usoni ni binti ambaye amechanwa nyembe na Magreth ( rafiki yake ) akimtuhumu kutembea na mpenzi wake.



 



Tukio hilo liliwakera wanakijiji na kuamua kungilia kati ugomvi huo kwa kumpiga Magreth na hatimaye kumvua nguo wakidai kuwa hata yeye ni kahaba tu maana huyo mwanaume siyo mume wake bali ni hawala tu .

ZA MWIZI 40 LAKINI ZA KIJANA AMIRI NI 2 TU

Ni mwizi kijana maarufu kwa jina la AMIRI kutoka kijitonyama kwa ALLI MAUA kakamatwa leo hivi maeneo ya sinza kumekucha kwa kuiba viatu ndani kwa mtu 

hapa akiwa kwenye gari akipelekwa polisi source http://www.aalkanes.blogspot.com

Saturday, 28 September 2013

HIKI NI KITUKO KWELI JAMANI


MSANII wa filamu za kibongo, Rachel Haule ‘Recho’ hivi karibuni aligeuka kituko baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii.

Picha hiyo ambayo Recho amevaa shati tupu (inayoonesha ndani) bila kuvaa kitu kingine chochote, aliitupia kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram ambapo mashabiki na marafiki zake walichangia huku wakimlaumu kuwa hakufanya vizuri kuiweka picha hiyo ya aibu mtandaoni.


Mwandishi  wetu alimuuliza Recho kulikoni? Akajibu hivi:
“Nawapenda sana marafiki zangu lakini mimi sijaona tatizo la hii picha kwa sababu ni ya kawaida sana sioni ubaya wake.”

Friday, 27 September 2013

PICHA 4 ZA NICK MINAJI ZA UTATA .....CHEKI HAPA


Ustaa  kazi  sana....Kwa  wasiomjua, huyu  ni  Nick Minaj  ambaye  ni  mrembo  na  staa  wa  muziki  huko Ng'ambo...

Kama  unavyojua, mastaa  hawaishiwi  vituko  na  hufanya  hivyo  makusudi  kabisa  ili  jamii  iwazungumzie...




www.aalkanes.blogspot.com

TABIA YA KUTOVAA NGUO ZA NDANI YAMTOKEA PUANI MSANII TIWA SAVAGE,KILA KITU CHAANIKWA HADHARANI.


Msanii  huyu   toka  Nigeria amejikuta  akiambulia  aibu  baada  ya  nyeti  zake  kuanikwa  hadharani  wakati  akitumbuiza  jukwaani...

Tiwa  alikuwa  akitumbuiza  jukwaani huku  akiwa  na  kisiketi  kifupi ambacho  kilianika  kila  kitu  kwa  kuwa  ndani  hakuvaa  KUFULI...


Kilichomstua  ni  baada  ya kuona  watu  wako  bize  na  simu  zao  wakipiga  picha  hasa  eneo  la  chini  alipokuwa  amesimama  juu ya  jukwaa...


Hali  hiyo  ilimfanya  akatishe  show  kwa  muda ili  kupata  muda  wa  kujiweka  vizuri...

Wednesday, 25 September 2013

PICHA NA VIDEO YA MWANANMKE ALIYEFANANISHWA NA KIONGOZI WA UGAIDI WA WESTGATE NCHINI KENYA AKIKANUSHA TUHUMA HIZO

Kufuatia mashambulizi ya kigaidi katika mall ya West Gate jijini Nairobi, kumekuwepo na uvumi kuhusu mwanamke wa Uingereza aitwaye Samantha Lewthwaite au ‘White Widow’ kuhusika na tukio hilo. Jana kulikuwa kumekuwa na picha zilizosambaa katika mitandao ya kijamii pamoja na kuripotiwa na baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mtandao wa Mail Online wa Uingereza, za mwanamke ambaye baadhi ya watu waliamini kuwa ni Samantha Lewthwaite au ‘White Widow’.
westgate lady escaped
Picha ya mwanamke wa Kenya (kushotio) aliyedhaniwa kuwa ‘White Widow’
Habari iliyokuwa inasambaa ni kuwa mwanamke huyo aliyedhaniwa kuwa ‘white widow’ alitoroka kwa njia ya kujifanya kumsaidia mwanamke huyo (kwenye picha hapo juu).
NTV ya Kenya iliamua kusahihisha habari hiyo kwa kumtafuta mwanamke huyo (kushoto katika picha) na walifanikiwa kumpata na kuweka taarifa hiyo sawa kwa kukanusha kutokuwa mtu ambaye watu walimdhania.
Akiongea na NTV Mwanamke huyo alijitambulisha kwa jina la Henna, na wakati wa tukio alikuwa katika mall ya West gate na wanae wawili pamoja na dereva wakifanya manunuzi ndipo ghafla mashambulizi yakaanza. Wakati wa kujiokoa aliamua kuwa msamaria mwema kwa kumsaidia mwathirika mwenzie aliyejeruhiwa kama ilivyoonekana katika picha iliyozuwa uvumi wa kuwa ‘white widow’.
Mtazame hapa chini

KUPATA KUMJUA GAIDI ALIYEFANANSHWA NA HUYU MWANAMAMA HAPO JUU

Tuesday, 24 September 2013

HII NI NOMA KWELI WANAFUNZI BAADA YA MASOMO KUWACHOSHA, WANAFUNZI WA SECONDARY WAVUA NGUO WAKIWA DARASANI

The lamentations of parents of this generation is simply that students have lost focus in every sphere of life. One major obvious screen to watch the decadence is the results they push out these days. What has taken over the minds of these young ones is simply the internet and the dirty displays they see on TV, and this has no doubt created such a picture as this. What is your take? aallkanes.blogspot.com

VAMIZI WA WESTGATE NA MAJINA YAO NA NCHI WANAZOTOKA.....MPAKA SASA WAMESHAULIWA WAWILI

Jumamosi takriban saa tano unusu asubuhi, genge la kigaidi linaloshukiwa kuwa la Al Shabaab lilipata kungia katika eneo la kibiashara la Westgate wakiwa kwenye magari ya kibinafsi.

Kundi hilo la takriban watu 10-15 liliweza kuingia kupitia lango kuu la jumba hilo huku lingine likiingia kutoka eneo la kuegeshea magari lililoko paani.
Katika lango kuu walianza kwa kumuua mkurugenzi wa kampuni ya usalama inayolinda eneo hilo kabla ya kuelekea paani ambapo ulikuwa na hafla iliyoandaliwa na idhaa ya East FM.
Wale walioingilia lango kuu wakafululiza hadi duka la Nakumatt lililoko katika jengo hilo na ni hapa ambapo mauaji ya Wakenya wasiokuwa na hatia yoyote yalipoendelezwa zaidi.
Milio ya risasi ikasheheni angani.
Huku haya yakijiri tayari maafisa wa polisi walikuwa wamepata habari hizo na vikosi mbali mbali vikakita kambi na kulizingira eneo hilo, magharibi, mashariki, kusini na hadi angani.
Shughuli ya uokozi ikaanza ili kufanikiwa kuwashikilia mateka kwa siku tatu mtawalia huku vikosi vya usalama vinajua ina maana kuwa magaidi hawa walikuwa wamejihami vilivyo.
Na je ni akina nani hawa ?
Duru za kuaminika zinaarifu kuwa, washukiwa hawa ni watu wa tabaka na mataifa mbali mbali wakiwemo wafuatao wanaodaiwa kushiriki kwenye shambulizi hilo:
1. Sayd Nuh – 25 – Kismayu
2. Ismael Galed – 23 – Finland
3. Mustafa Noordiin – 24 – Marekani
4. Abdifatah Osman- 24 – Marekani
5. Kassim Musa – 22 – Garissa
6. Mohammed Badr – 24 – Syria
Aidha waziri wa masuala ya ndani na usalama Joseph Ole Lenku amefutilia mbali madai kuwa kiongozi wa kundi hilo ni mwanamke akishikilia kwamba ni wanaume waliovalia mavazi ya kike.
Kufikia sasa vikosi vya kenya vya usalama vimechukua usukani wa orofa zote za jengo hilo, na kulingana na Lenku ni kuwa magaidi wangali wamejificha, japo wawili tayari wameuawa.

Sunday, 22 September 2013

HII NDIO HISTORIA FUPI YA HAPPINESS WATIMANYWA MISS TANZANIA 2013 UMETISHA HAPPY

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa kipindi cha Skonga, utamkumbuka Happiness Watimanywa, msichana pekee kutoka Tanzania aliyeweka historia ya kuongoza nchi zaidi ya 150 za mtandao wa IGCSE katika somo la Uhasibu kwenye mitihani ya kidato cha nne mwaka 2010.
Happy (19) ni mzaliwa wa familia ya kawaida sana ya Mr Louis Roussos ya Morogoro. Wadogo zake Angel na Romeo sasa wanasoma St. Constantine shule iliyomtoa Happy. Pia, Happiness Watimanywa amewahi kusoma Laureatte International School ya Dar-es-salaam, ambapo akiwa hapo, alikutana na mwalimu wa michezo Mr Tchalewa Ndeki ambaye alimfungulia mipaka mingi Happy. Akiwa Laureatte, Happy aliwahi kwenda China na South Korea akiwa na wanafunzi wenzake katika matamasha mbali mbali ya elimu na michezo. Baada ya kumaliza kidato cha nne, Happy alifanikiwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Strathclyde cha UK ambapo anasomea digrii ya Biashara.
Kipindi ambacho Happy yupo kwenye likizo ndefu, alipata wakati mgumu wa kutokuwa na kitu cha kufanya, hivyo Happy aliamua kujihusisha na masuala ya urembo na kufanikiwa kutwaa Taji la Miss Dodoma, na Miss Kanda ya Kati na hatimaye kuingia kwenye kambi ya Miss Tanzania.
Akiwa Miss Tanzania, Happy alikuwa ni mshiriki wa kwanza kuingia Nusu Fainali ya mashindano hayo kwa kutwaa taji la Redds Miss Photogenic 2013.

Wednesday, 18 September 2013

JINAMIZI LA NGONO KWA WASANII....!! BABY MADAHA ANASWA LIVE NA MUME WA MTU.

STAA wa sinema na Bongo Fleva, Baby Madaha amenaswa live akiingia na kula bata hotelini akiwa na mwanaume aliyetajwa kwa jina la Joe Kariuki. 


Tukio hilo lililopigwa chabo na shushushu wetu lilijiri wikiendi iliyopita, majira ya usiku mnene katika Hoteli ya De France iliyopo Sinza, Dar ambapo Madaha alionekana akiwa amejiachia vya kutosha kwa mwanaume huyo

Ili kupata mzani wa habari hiyo, gazeti hili lilizungumza na Madaha ambaye alikiri kuwa na mwanaume huyo hotelini hapo huku akidai ni meneja wake.

“Joe (Kariuki) ni meneja wangu wa Kampuni ya Candy n’ Candy Records ya Nairobi, Kenya ndiye anayesimamia kazi zangu na tayari nimeachia ngoma moja inayo-hit ya Summer Holiday,” alijitetea Madaha.

HUYU NDIYE MWANAMKE ALIYEWEKA RECORD YA DUNIA ya KUWA NA MIGUU MIREFU KULIKO WOTE DUNIANI.

Ama kweli ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni" Katika hali isiyokuwa ya kwaida huyu ndiye mwanamke aliyefanikiwa kuingiza katika kitabu cha kumbukumbu ya Dunia WORLD RECORD GUINESS BOOK. La kushanzaza zaidi walimkutanisha na mtu mfupi zaidi Duniani.








http://aalkanes.blogspot.com

JACK WA CHUZ NA MUMEWE WAPIGANA NDIMI MBELE YA UMATI WA WATU...CHEKI PICHA

STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’, hivi karibuni walinaswa wakipigana mabusu hadharani na mumewe Gardina Dibibi, nyumbani kwa mwanamuziki Isabella Mpanda, huku watu wakiwatumbulia macho.
 
Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ na mumewe Gardina Dibibi wakibusiana.
Tukio hilo lilitokea maeneo ya Makumbusho, jijini Dar ambapo Isabella alikuwa akimfanyia sherehe ya kutimiza miaka hamsini mama yake mzazi, Slavina Mpanda ambapo aliwaalika Jack na mumewe.
Jack ndiye aliyetangulia kufika na saa mbili baadaye Dibibi aliwasili ndipo walipoanza kupigana mabusu huku watu wakiwaangalia lakini wao hawakuonekana kujali.
“Mmh! Sasa huu uzungu umepitiliza maana kama ni mahaba hapa yamefika mwisho, tangu walipowasili wao ni kupiga mabusu tu,” alisikika mmoja wa waalikwa wa sherehe hiyo.
Jack na Dibibi walifunga ndoa hivi karibuni na watu wengi wamekuwa wakitabiri kwamba wawili hao hawatadumu ndani ya ndoa hiyo.
Hivyo kitendo chao  cha kupigana mabusu hadharani ni sawa na kuwaonesha wasiowatakia mema kwamba wanapendana kwa dhati

Read more: http://vitukovyamtaa.blogspot.com/2013/09/jack-wa-chuz-na-mumewe-wapigana-ndimi.html#ixzz2fIUbDBV9

Sunday, 15 September 2013

HIVI NDIVYO WAFUASI WA RAIS ASSAD WA SYRIA WANAVYOUAWA MBELE YA WANANCHI

Hii ndioo SYRIA gusa uoneAskari wa kundi la ISIS akimwekea jambia shingoni mmoja wa wafuasi wa Bashir al-Assad kabla ya kumkata kichwa.
Baadhi ya mateka wanaomuunga mkono Rais wa Syria, Bashir al-Assad, wakiwekwa eneo la machinjioni.
Mmoja wa askari akiinua juu jambia kumkata mfuasi wa Bashir al-Assad.
Mtoto mdogo raia wa Syria akiangalia mwili wa mfuasi wa Bashir aliyekatwa shingo.
Watoto wakishuhudia mwili wa mfuasi wa Bashir aliyekatwa shingo.
Baadhi ya mateka wakisubiri kuuawa.
WATU wanaomuunga mkono Rais wa Syria, Bashir al-Assad, wamekuwa wakikamatwa na kuuawa mbele ya wananchi.  Mauaji yamekuwa yakifanywa kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukatwa shingo au viungo vya mwili kwa kutumia majambia na silaha zingine.
Haya yote hufanyika  mbele ya watu wanaoshangilia na wengi wao wakiwa na silaha. Miongoi mwao ni pamoja na watoto.  Mauaji ya mwisho ambayo yalinaswa hivi karibuni ni yale yaliyotokea katika mji wa Keferghan kaskazini mwa nchi hiyo.
Inasemekana mauaji hayo hufanywa na kundi la ISIS ambalo ni tawi la Al-Qaeda linalompinga Assad na wanaofanyiwa mauaji hayo ni kundi linalojulikana kama Shabiha (Mizimu) ambalo linamuunga mkono rais huyo.

MISS UTALII ALIYEPIGA PICHA CHAFU NA MSANII MANAIKI SANGA APEWA KIPIGO NUSU YA KUFA. HALI YAKE MBAYA ALAZWA HOSPITAL! ...NA HIZI NDIZO PICHA ZAKE NYINGINE ZA NUSU UCHI


 Fathiya Alfan "Mrembo wa Facebook" akiwa hoi baada ya kipigo cha mbwa mwizi alichokipata toka kwa mumewe


Mrembo wa Facebook Miss Utalii


Duh nakozi zinauma kumbe? Sitaki tena umaarufu kudadeki!


 Moja ya picha zilizomtokea puani Mrembo wa Facebook akiwa na mwanamuziki/msanii Manaiki Sanga walizopiga visiwani Zanzibar msimu wa sikuu ya Idd




mwone kikwapa kile huna hata aibu

 "Money is Paper" Mrembo wa Facebook na Manaiki Sanga wakila bata za kufa mtu visiwani Zanzibar hii ni moja ya picha zilizomkera mumewe hadi kufikia hatua ya


Zile picha za aibu zilizoongoza vichwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii nchini pamoja na nje ya nchi hasa nchini Kenya zilizokuwa zikimuonesha mwanamuziki na msanii wa bongo muvi Manaiki Sanga akiwa na mabint mbalimbali wakiwa kwenye picha utupu sasa tukio hilo limechukuwa sura mpya baada mrembo aliyekuwa mshiriki Miss Utalii 2013 Fathiya Alfani kupigwa nusu ya kupoteza uhai wake na mchumbaake kwa madai ya kumdhalilisha.
Habari za uhakika toka kwa rafiki wa karibu na mrembo huyo ambae amevujisha picha hizi za kupigwa kwa Fathiya aliieleza  mtandao huu “ Jamani tumuone huruma Mrembo wa Facebook kwani hali yake sio mbaya amepigwa sana kiasi cha kutolewa nafsi na mchumbaake anaeishi nae huko Buza” Kilisema chanzo hicho
Aidha katika tukio hilo ambalo mtuhumiwa namba moja na Manaiki Sanga aliyeshiriki kwenye filamu za Tikisa, Love Position, Unpassble, Last Coin na Sory my Soni ambayo amecheza kama staa na pia msanii huyo kwenye nyimbo anazotambanazo ni Nafanya Mambo, Ai Wewe Ft Dogo Janja, Twende Sawa Ft prodyuza Mswaki na nyinginezo. Inadaiwa Manaiki kwa sasa anaishi kama digidigi kwa kuhofia kutiwa mikononi na Jamhuri kwa tukio alilolifanya la udhalilishaji wanawake