Wednesday, 28 August 2013

BBC


Hii leo katika dira ya Dunia.... Tanzania yakanusha madai ya Human Rights Watch , kuwa watoto wanatumikishwa katika migodi nchini humokama unafiki wa kujitafutia sifa..... Na leo katika mjadala wetu tunaangazia Syria, Uwezekano wa Magharibi kuivamia kijeshi kwa madai kuwa serikali hiyo imetumia silaha za sumu... je Unadhani wanayosababu ya kutosha kuchukua hatua hii?

No comments:

Post a Comment