Saturday, 31 August 2013

DIAMO NDANI YA SKENDO YA KUMSHIKASHIKA LINAH MAPAJA....,KULA RAHA MAISHA YENYEWE MAFUPI

Tabia mbaya! Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenaswa na msanii mwenzake, Esterlina Sanga ‘Linah’ wakiwa kwenye mapozi ya kimahaba ambayo yametafsiriwa vibaya.
Katika tukio hilo lililojiri juzikati kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ndani ya Tamasha la Serengeti Fiesta, Diamond alishuhudiwa akiwa amempakata Linah ndani ya basi huku mikono ya jamaa huyo ikishika maeneo nyeti.
Mara baada ya kutimba uwanjani hapo wakitokea hotelini tayari kwa kufanya shoo, Diamond na Linah walibaki kwenye basi wakiwa wamepakatana na hata msichana huyo alipomaliza shoo yake kali mishale ya saa 3: 00 usiku, alirejea mikononi mwa Diamond ambaye alimpachika mapajani.
Shushushu wetu aliwapiga chabo ‘wakifanya yao’ hadi Diamond alipokwenda stejini na kuangusha bonge la shoo huku akimwacha Linah mpweke.
Kwa mujibu wa mashuhuda, kama kweli mchumba wa Diamond, Penniel Mungwilwa ‘Penny’ anakubali mambo kama hayo, basi atakuwa na roho ngumu au moyo wa chuma.
Mwanahabari wetu alipomuuliza Linah kuhusu ishu hiyo, alifunguka: “Weweee…hakuna ni mapozi tu na wala usiandike hiyo habari.”
Siyo mara ya kwanza Diamond na Linah kuripotiwa wakiwa wamepozi kimahaba kwani mwaka jana walifanya hivyo wakiwa jijini Mbeya hivyo kutafsiriwa kuwa inaonekana ni katabia kao kabaya wanakaendekeza.

Kweli pombe sio chai


Friday, 30 August 2013

Mambo mengine jaman nashindwa hata kuelewa icheck hii


MWANAMKE AFUNGA NDOA NA KANISA BAADA YA KUKAA MUDA MREFU BILA KUOLEWA NCHINI KENYA


WATOTO WA KIKE, TUWAFICHE WAPI WASIYAONE MAPENZI?

Mwanzoni mwa juma hili,nilitembelea shule moja ya wasichana nikiwa na shida ndogo ya kiofisi hapo.
Jina la shule naomba nilihifadhi sina taaluma ya uandishi wa habari,nisikiuke misingi yake.
...
Nilipofika ofisini nilikaribishwa staff ya walimu,nikaambiwa nisubiri.Hapo ndipo niliduwaa kumuona mwalimu mmoja wa kike akiingia ofisini na mtoto wa kike,kidato cha tatu huku akiandamwa na fimbo za mgongoni.
...
Tatizo lilikuwa kwamba,,yule binti alikuwa amekamatwa jumapili yake(siku iyo ilikuwa jumatatu)
Akiwa amelala na wanaume wawili wakati wenzake wameruhusiwa kwenda nyumba ya ibaada.Shule yenyewe ina taratibu ya kuwaruhusu wanafunzi kuhudhuria ibaada nje ya shule ambapo ni mwendo wa dk 25 ivi kwa miguu... Mwanafunzi huyu alikiri kulala na wanaume hao wawili na alipoulizwa aliwafaham vipi,alisema alitumia simu ambayo pamoja na shule kuzuia bado aliiweka kwenye taiti,,ikiwa na vibration.Aliweka wazi kuwa matroni hata akague vipi hawezi kuwakamata wote maana wanafunzi wengi wana simu.
...
Alipoulizwa anapaje ujasiri wa kulala na wanaume wawili,huku akilia anasema alikubaliana na mmoja,akaongezeka wa pili,,hivyo asingeweza kuwazuia.
...
Tukio hili ambalo bado linaendelea kuchukuliwa hatua stahiki ikiwemo wahusika kutafutwa,,lilinifanya niondoke na maswali mengi kichwani.Je tuwafiche wapi? Je malezi gani tuyatumie? Je wazazi walio nyumbani wanajua watoto wao wanamiliki simu? Je imefika mahali,somo la Mahusiano Urafiki Mawasiliano na Mapenzi liwekwe shuleni? Je hawa ndo wake wema na waume wema wa kesho?
Iliniuma,,jamani tusitafute wa kulaumu bali nini kinaweza kuleta usalama.

Thursday, 29 August 2013

DIAMOND NOMA:AMZAWADIA MZEE GURUMO GARI MPYA KATIKA UZINDUZI WA VIDEO YAKE MPYA "NUMBER ONE"

AKIMKABIDHI MZEE GURUMO KARI 

Diamond Platnumz jana alifanya uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya, Number 1 kwenye ukumbi wa Serena Hotel jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo ndugu zake, marafiki, wasanii wenzake na wadau mbalimbali wa muziki nchini.

Kwenye uzinduzi huo pia, Diamond alimpa zawadi ya gari msanii mkongwe aliyetangaza kustaafu muziki, Muhidin Gurumo kama heshima kwake.

MTOTO MIAKA 7 ALEA FAMILIA,WAZAZI WAWAKIMBIA

WAZAZI ambao hawajajulikana walikotokomea wamewatelekeza watoto wao wanne wanaoishi Kata ya Bangulo, Pugu, Ilala, jijini Dar es Salaam, Amani lina mkasa wote.
Mazigira ya nyumba ya watoto hao ni ya kutoa machozi hata kwa mtu mwenye roho ngumu kama jiwe. Nyumba iko hivyo, pa kulala ni chini, wadudu kibao huku wakiwa hawajui hatima yao.
Majirani ndiyo waliowaibua watoto hao baada ya kubaini kuwa baba yao hajaonekana kwa miezi kadhaa nyumbani hapo hali iliyosababisha wengine kulia.
Akizungumza na paparazi wetu juzikati,  Sarah Shija (7) ambaye ndiye anayelea familia hiyo kwa sasa, aliwataja wenzake, Kevin Shija (8), Babu Shija (5) na Brighton Shija (6).
Alisema  mama yao mzazi aliondoka nyumbani hapo miaka miwili iliyopita baada ya kutokea mzozo kati yake na baba yao na kwenda kusikojulikana licha ya kwamba siku hiyo walimsihi sana mama huyo asiondoke.
Sarah aliendelea kuweka wazi kuwa, baada ya mama yao kuingia mitini, baba yao ndiyo akawa kila kitu lakini kumbe  na yeye alikuwa na lake moyoni.
Alisema miezi minne iliyopita, asubuhi baba yao aliamka asubuhi na kuwaachia shilingi 5,000 na kiasi kidogo cha unga kwenye kiroba na kuondoka akisema angerudi jioni.
“Mara ya mwisho baba alipoondoka alituambia angerudi jioni, akatuachia shilingi elfu tano kwa ajili ya kununua mboga na vitu vingine,” alisema Sarah.
Sarah alisema tangu siku hiyo baba yao  hakurudi tena huku wao wakiwa wamebaki wenyewe na elfu tano aliyowaachia ikiwa imeisha.
Alisema hali hiyo iliwalazimisha kusimama masomo kutokana na ugumu wa maisha kwa sababu mara nyingi wanaamka asubuhi wakiwa na njaa hivyo kushindwa kuelewa kinachofundishwa na walimu.
“Tunalala na njaa, tunaamka na njaa, tunashinda na njaa sasa tusingeweza kwenda shule kwa sababu tunakuwa tunatetemeka mwili. Hatujui baba atarudi lini,” alisema Sarah na kuangua kilio.
Alisema imefika hatua nduguze wakishikwa na kiu anawapeleka kunywa maji machafu ya kwenye madimbwi ambayo pia yana chumvi kupita kiasi kwa sababu hawana  fedha (shilingi mia nne) ya kununua maji salama.
Akizungumza kwa niaba ya wenzake, Sarah alimuomba baba yao  popote alipo kurudi nyumbani na kuendelea na maisha. Pia walimtaka mama yao akisoma habari hii akawachukue kwani maisha yao ni magumu sana na yeye analazimika kufanya shughuli nyingi za nyumbani ili kuhakikisha uhai wao haukatishwi na njaa.
Ili kujua maisha yao zaidi ya kusikitisha usikose kuangalia Kipindi cha Wanawake Live cha Mtangazaji Joyce Kiria ambacho kitaonesha ‘live’ maisha magumu ya watoto hao

NEY WA MITEGO "SINA TATIZO NA MADEMU RITHA CHECK TILIVYOTOKLEZEA"NANI AMENUNA?


Katika Uzinduzi wa Video mpya ya Diamond ya wimbo unaoitwa Number 1 , Madamme Ritha wa BSS alikutana Live live na Ney wa Mitego ambaye alimchana sana kwenye wimbo wake mpya akiuliza milion 50 za BSS zinaenda wapi ? kwani washindi stil bado wamechoka kimaisha...ili kuonyesha kuwa hawana Beef kati ya yao waliamua kupiga picha ya Pamoja....
Hongera Madamme Ritha kwa kuonyesha ukomavu..Ingekuwa mwenzangu na Mie hapo mbona Beef lingekuwa Another Level....

DEMU AAMUA KUVUA NGUO SALOON NA KUWAAMBIA WENZAKE WAMPIGE PICHA ATUME KWA BOY WAKE

Kioja hiki kimetokea kwenye saloon moja sinza , demu ambae jina lake halikuweza kupatikana kirahisi ila inasemakena ni maarufu hapa mjini kwa kuwa company na wasanii wa bongo flava , alifika saloon na kuanza kuwaadhia wenzake kuwa anatoka na wasanii wakubwa hapa bongo na baada ya muda mfupi alifua nguo na kuomba kupigwa picha ili amtumie boy wake kwenye whats app...kila aliye kuwa pole saloon aliruhusiwa kupiga picha kwa simu yake bila shida......Hapo sasa sijui ni kutafuta KIKI ama nini?

Usipende kumega tu nawe utamegewa tu


Hii ni Nomaaaa ile mbaya


Hii ni Arsenally wabongo wanatisha jamani


Wednesday, 28 August 2013

http://aalkanes.blogspot.com

P-square personally


kazi imeiva

Sports Venue & Stadium · 18,155,855 likes

BBC


Hii leo katika dira ya Dunia.... Tanzania yakanusha madai ya Human Rights Watch , kuwa watoto wanatumikishwa katika migodi nchini humokama unafiki wa kujitafutia sifa..... Na leo katika mjadala wetu tunaangazia Syria, Uwezekano wa Magharibi kuivamia kijeshi kwa madai kuwa serikali hiyo imetumia silaha za sumu... je Unadhani wanayosababu ya kutosha kuchukua hatua hii?

DAH RAY C AANZA MAZOEZI KUKIRUTUBISHA KIUNO ETI NOMA KWELI MTU WANGU

 
Zaidi ya sauti yake na uwezo mkubwa wa kuimba nyimbo zinazoshikika kiurahisi, umaarufu wake mwingine mkubwa toka enzi hizo ni kiuno bila mfupa kwa jinsi alivyokua akicheza nacho.Huu  ni uwezo uliofanya mpaka maneno ya kiuno bila mfupa yakapata umaarufu kupitia yeye.
 
Siku kadhaa  baada ya kutangaza kurudi kwenye muziki kama zamani, Ray C akiwa ametoka kwenye matibabu ya matumizi ya dawa za kulevya  ameanza kujipanga kupunguza unene alionao ili awe mwepesi zaidi ya alivyo sasa ili kila kitu kiende kama kilivyokua.
 
Ray C akipiga story na fans wake alisema “Mauno ni nyonga si manyama”....hii ni moja ya sababu za msingi sana zilizomfanya Rehema Chalamila kuingia gym kuanza mazoezi.
 

Shilole Afanya kufuru Fiesta Check hii



No Bifu

Hii ndio picha waliyopigwa Chidi Benz na Ney wa Mitego wakati wanapatanishwa na Madee na Cassim Mganga 89.7 Singida kwenye Fiesta 2013

Tuesday, 27 August 2013

Monday, 26 August 2013

For more

For more information contacts us by:aalkanes@rocketmail.com

http://aalkanes.blogspot.com